1 Yohana 5:14 - Swahili Revised Union Version14 Na huu ndio ujasiri tulio nao kwake, ya kuwa, tukiomba kitu sawasawa na mapenzi yake, atusikia. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Na sisi tuko thabiti mbele ya Mungu kwani tuna hakika kwamba tukimwomba chochote kadiri ya matakwa yake, yeye hutusikiliza. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Na sisi tuko thabiti mbele ya Mungu kwani tuna hakika kwamba tukimwomba chochote kadiri ya matakwa yake, yeye hutusikiliza. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Na sisi tuko thabiti mbele ya Mungu kwani tuna hakika kwamba tukimwomba chochote kadiri ya matakwa yake, yeye hutusikiliza. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Huu ndio ujasiri tulio nao tunapomkaribia Mungu, kwamba tukiomba kitu sawasawa na mapenzi yake, atusikia. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Huu ndio ujasiri tulio nao tunapomkaribia Mwenyezi Mungu, kwamba kama tukiomba kitu sawasawa na mapenzi yake, atusikia. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI14 Na huu ndio ujasiri tulio nao kwake, ya kuwa, tukiomba kitu sawasawa na mapenzi yake, atusikia. Tazama sura |