Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Yohana 3:13 - Swahili Revised Union Version

13 Ndugu zangu, msistaajabu, ulimwengu ukiwachukia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Basi, ndugu zangu, msishangae kama ulimwengu unawachukia nyinyi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Basi, ndugu zangu, msishangae kama ulimwengu unawachukia nyinyi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Basi, ndugu zangu, msishangae kama ulimwengu unawachukia nyinyi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Ndugu zangu, ninyi msistaajabu kama ulimwengu ukiwachukia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Ndugu zangu, ninyi msistaajabu kama ulimwengu ukiwachukia.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

13 Ndugu zangu, msistaajabu, ulimwengu ukiwachukia.

Tazama sura Nakili




1 Yohana 3:13
18 Marejeleo ya Msalaba  

Mtu aliye dhalimu ni chukizo kwa wenye haki; Na mnyofu wa mwenendo ni chukizo kwa waovu.


Ujapokuwa unaona maskini kuonewa, na hukumu na haki kuondolewa kwa jeuri katika jimbo, usilistaajabie jambo hilo; kwa sababu, Aliye Juu kuliko walio juu huangalia; Tena wako walio juu kupita hao.


Nanyi mtakuwa mkichukiwa na watu wote kwa ajili ya jina langu; lakini mwenye kuvumilia hata mwisho, ndiye atakayeokoka.


Wakati huo watawasaliti ninyi mpate dhiki, nao watawaua; nanyi mtakuwa watu wa kuchukiwa na mataifa yote kwa ajili ya jina langu.


Nanyi mtakuwa mkichukiwa na watu wote kwa ajili ya jina langu; lakini mwenye kuvumilia hadi mwisho, ndiye atakayeokoka.


Nanyi mtachukiwa na watu wote kwa ajili ya jina langu.


Heri ninyi watu watakapowachukia, na kuwatenga, na kuwashutumu, na kulitupa nje jina lenu kama neno ovu, kwa ajili ya Mwana wa Adamu.


Watawatenga na masinagogi; naam, saa inakuja kila mtu awauaye atakapodhania ya kuwa anamfanyia Mungu ibada.


Hayo nimewaambieni mpate kuwa na amani ndani yangu. Ulimwenguni mnayo dhiki; lakini jipeni moyo; mimi nimeushinda ulimwengu.


Mimi nimewapa neno lako; na ulimwengu umewachukia; kwa kuwa wao si wa ulimwengu, kama mimi nisivyo wa ulimwengu.


Usistaajabu kwa kuwa nilikuambia, Hamna budi kuzaliwa mara ya pili.


Ulimwengu hauwezi kuwachukia ninyi; bali hunichukia mimi, kwa sababu mimi naushuhudia ya kuwa kazi zake ni mbovu.


Wakati Petro alipoyaona haya akawajibu wale watu, Enyi Waisraeli, mbona mnastaajabia haya, au mbona mnatukazia macho sisi, kana kwamba tumemfanya huyu aende kwa nguvu zetu sisi, au kwa utauwa wetu sisi?


Kwa kuwa ile nia ya mwili ni uadui juu ya Mungu, kwa maana haitii sheria ya Mungu, wala haiwezi kuitii.


Naam, na wote wapendao kuishi maisha ya utauwa katika Kristo Yesu wataudhiwa.


Enyi wazinzi, hamjui ya kwamba kuwa rafiki wa dunia ni kuwa adui wa Mungu? Basi kila atakaye kuwa rafiki wa dunia hujifanya kuwa adui wa Mungu.


Na yule malaika akaniambia, Kwa nini unastaajabu? Nitakuambia siri ya mwanamke huyu, na ya mnyama huyu amchukuaye, mwenye vile vichwa saba na zile pembe kumi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo