Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wakorintho 2:3 - Swahili Revised Union Version

3 Nami nilikuwako kwenu katika hali ya udhaifu na hofu na kwa kutetemeka sana.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Nilipokuwa kwenu nilikuwa dhaifu, natetemeka kwa hofu nyingi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Nilipokuwa kwenu nilikuwa dhaifu, natetemeka kwa hofu nyingi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Nilipokuwa kwenu nilikuwa dhaifu, natetemeka kwa hofu nyingi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Mimi nilikuja kwenu nikiwa dhaifu na mwenye hofu na kwa kutetemeka sana.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Mimi nilikuja kwenu nikiwa dhaifu na mwenye hofu na kwa kutetemeka sana.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

3 Nami nilikuwako kwenu katika hali ya udhaifu na hofu na kwa kutetemeka sana.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 2:3
22 Marejeleo ya Msalaba  

Katika siku hiyo Misri itakuwa kama wanawake; itatetemeka na kuogopa kwa sababu ya kutikiswa kwa mkono wa BWANA wa majeshi, autikisao juu yake.


Wakiisha kupita kati ya Amfipoli na Apolonia wakafika Thesalonike, ambapo palikuwa na sinagogi la Wayahudi.


Baada ya mambo hayo, Paulo akatoka Athene akafika Korintho.


Hata Galio alipokuwa mtawala wa Akaya, Wayahudi wakamwinukia Paulo kwa nia moja, wakamleta mbele ya kiti cha hukumu,


Walipopingana naye na kumtukana Mungu, akakung'uta mavazi yake, akawaambia, Damu yenu na iwe juu ya vichwa vyenu; mimi ni safi; tangu sasa nitakwenda kwa watu wa Mataifa.


Basi, mimi Paulo mwenyewe nawasihi kwa upole na utaratibu wa Kristo; mimi niliye mnyenyekevu nikiwapo pamoja nanyi, bali nisipokuwapo ni mwenye ujasiri kwenu;


Maana wasema, Nyaraka zake ni nzito, hodari; bali akiwapo mwenyewe mwilini ni dhaifu, na maneno yake si kitu.


Maana, alisulubiwa katika udhaifu, lakini anaishi kwa nguvu za Mungu. Maana sisi nasi tu dhaifu katika yeye; lakini tutaishi pamoja naye kwa uweza wa Mungu ulio kwenu.


Maana twafurahi, iwapo sisi tu dhaifu, nanyi mmekuwa hodari. Tena twaomba hili nalo, kutimilika kwenu.


Kwa sababu hiyo, kwa kuwa tuna huduma hii, kwa jinsi tulivyopata rehema, hatulegei;


Kwa hiyo hatulegei; bali ijapokuwa utu wetu wa nje unachakaa, lakini utu wetu wa ndani unafanywa upya siku kwa siku.


bali katika kila neno tujipatie sifa njema, kama watumishi wa Mungu; katika subira nyingi, katika mateso, katika shida, katika matatizo;


Na mapenzi yake kwenu yamekuwa mengi kupita kiasi, akumbukapo kutii kwenu ninyi nyote, jinsi mlivyomkaribisha kwa hofu na kutetemeka.


Kwa maana hata tulipokuwa tumefika Makedonia miili yetu haikupata nafuu; bali tuliteseka kotekote; nje palikuwa na vita, ndani hofu.


Enyi watumwa, watiini wao walio bwana zenu kwa jinsi ya mwili, kwa hofu na kutetemeka, kwa unyofu wa moyo, kana kwamba mnamtii Kristo;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo