1 Wakorintho 2:3 - Swahili Revised Union Version3 Nami nilikuwako kwenu katika hali ya udhaifu na hofu na kwa kutetemeka sana. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Nilipokuwa kwenu nilikuwa dhaifu, natetemeka kwa hofu nyingi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Nilipokuwa kwenu nilikuwa dhaifu, natetemeka kwa hofu nyingi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Nilipokuwa kwenu nilikuwa dhaifu, natetemeka kwa hofu nyingi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Mimi nilikuja kwenu nikiwa dhaifu na mwenye hofu na kwa kutetemeka sana. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Mimi nilikuja kwenu nikiwa dhaifu na mwenye hofu na kwa kutetemeka sana. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI3 Nami nilikuwako kwenu katika hali ya udhaifu na hofu na kwa kutetemeka sana. Tazama sura |