1 Wakorintho 2:15 - Swahili Revised Union Version15 Lakini mtu wa rohoni huyatambua yote, wala yeye hatambuliwi na mtu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 Lakini mtu aliye na huyo Roho anaweza kubainisha ubora wa kila kitu, naye mwenyewe hahukumiwi na mtu mwingine. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 Lakini mtu aliye na huyo Roho anaweza kubainisha ubora wa kila kitu, naye mwenyewe hahukumiwi na mtu mwingine. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 Lakini mtu aliye na huyo Roho anaweza kubainisha ubora wa kila kitu, naye mwenyewe hahukumiwi na mtu mwingine. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 Mtu wa kiroho hubainisha mambo yote, lakini yeye mwenyewe habainishwi na mtu yeyote. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 Mtu wa kiroho hubainisha mambo yote, lakini yeye mwenyewe habainishwi na mtu yeyote. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI15 Lakini mtu wa rohoni huyatambua yote, wala yeye hatambuliwi na mtu. Tazama sura |