1 Wakorintho 10:26 - Swahili Revised Union Version26 maana, Dunia ni mali ya Bwana na vyote viijazavyo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema26 maana Maandiko yasema: “Dunia na vyote vilivyomo ni mali ya Bwana.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND26 maana Maandiko yasema: “Dunia na vyote vilivyomo ni mali ya Bwana.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza26 maana Maandiko yasema: “Dunia na vyote vilivyomo ni mali ya Bwana.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu26 Kwa maana, “Dunia na vyote vilivyomo ni mali ya Mwenyezi Mungu.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu26 Kwa maana, “Dunia na vyote vilivyomo ni mali ya Mwenyezi Mungu.” Tazama sura |