Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wakorintho 10:26 - Swahili Revised Union Version

26 maana, Dunia ni mali ya Bwana na vyote viijazavyo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 maana Maandiko yasema: “Dunia na vyote vilivyomo ni mali ya Bwana.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 maana Maandiko yasema: “Dunia na vyote vilivyomo ni mali ya Bwana.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 maana Maandiko yasema: “Dunia na vyote vilivyomo ni mali ya Bwana.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Kwa maana, “Dunia na vyote vilivyomo ni mali ya Mwenyezi Mungu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Kwa maana, “Dunia na vyote vilivyomo ni mali ya Mwenyezi Mungu.”

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 10:26
9 Marejeleo ya Msalaba  

Ni nani aliyetangulia kunipa hata nimlipe? Kila kilicho chini ya mbingu nzima ni changu.


Nchi na vyote vilivyomo ni mali ya BWANA, Dunia na wote wakaao ndani yake.


Kama ningekuwa na njaa singekuambia, Maana ulimwengu ni wangu, na vyote vilivyomo.


Sasa basi ikiwa mtaitii sauti yangu kweli kweli, na kulishika agano langu, hapo ndipo mtakapokuwa tunu kwangu kuliko makabila yote ya watu; maana dunia yote pia ni mali yangu,


Musa akamwambia, Mara nitakapotoka mjini nitamwinulia BWANA mikono yangu; na hizo ngurumo zitakoma, wala haitanyesha mvua ya mawe tena; ili upate kujua ya kuwa dunia hii ni ya BWANA.


Lakini mtu akiwaambia, Kitu hiki kimetolewa kiwe sadaka, msile, kwa ajili yake yeye aliyewaambia, na kwa ajili ya dhamiri.


Tazama, mbingu ni mali ya BWANA, Mungu wako, na mbingu za mbingu, na nchi, na vitu vyote vilivyomo.


Kwa maana kila kiumbe cha Mungu ni kizuri, wala hakuna cha kukataliwa, kama kikipokewa kwa shukrani;


Walio matajiri wa ulimwengu wa sasa uwaagize wasijivune, wala wasiutumainie utajiri usio yakini, bali wamtumaini Mungu atupaye vitu vyote kwa wingi ili tuvitumie kwa furaha.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo