1 Wakorintho 10:25 - Swahili Revised Union Version25 Kila kitu kiuzwacho sokoni kuleni, bila kuulizauliza, kwa ajili ya dhamiri; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema25 Kuleni chochote kile kiuzwacho sokoni bila ya kuulizauliza kwa sababu ya dhamiri zenu; Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND25 Kuleni chochote kile kiuzwacho sokoni bila ya kuulizauliza kwa sababu ya dhamiri zenu; Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza25 Kuleni chochote kile kiuzwacho sokoni bila ya kuulizauliza kwa sababu ya dhamiri zenu; Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu25 Kuleni chochote kinachouzwa sokoni, bila kuuliza swali lolote kwa ajili ya dhamiri. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu25 Kuleni chochote kinachouzwa sokoni, bila kuuliza swali lolote kwa ajili ya dhamiri. Tazama sura |