Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wakorintho 1:16 - Swahili Revised Union Version

16 Tena niliwabatiza watu wa nyumbani mwa Stefana; zaidi ya hao, sijui kama nilimbatiza mtu yeyote mwingine.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Samahani, nilibatiza pia jamaa ya Stefana; lakini zaidi ya hawa, sidhani kama nilimbatiza mtu mwingine yeyote).

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Samahani, nilibatiza pia jamaa ya Stefana; lakini zaidi ya hawa, sidhani kama nilimbatiza mtu mwingine yeyote).

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Samahani, nilibatiza pia jamaa ya Stefana; lakini zaidi ya hawa, sidhani kama nilimbatiza mtu mwingine yeyote).

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 (Naam, niliwabatiza pia watu wa nyumbani mwa Stefana; lakini zaidi ya hao sijui kama nilimbatiza mtu mwingine yeyote.)

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 (Naam, niliwabatiza pia watu wa nyumbani mwa Stefana. Lakini zaidi ya hao sijui kama nilimbatiza mtu mwingine yeyote.)

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

16 Tena niliwabatiza watu wa nyumbani mwa Stefana; zaidi ya hao, sijui kama nilimbatiza mtu yeyote mwingine.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 1:16
6 Marejeleo ya Msalaba  

atakayekuambia maneno ambayo yatakuokoa, wewe na nyumba yako yote.


Hata alipokwisha kubatizwa, yeye na nyumba yake, akatusihi, akisema, Kama mmeniona kuwa mwaminifu kwa Bwana, ingieni nyumbani mwangu mkakae. Akatusihi sana.


Akawakaribisha saa ile ile ya usiku, akawaosha mapigo yao, kisha akabatizwa, yeye na watu wake wote wakati uo huo.


mtu asije akasema kwamba mlibatizwa kwa jina langu.


Tena ndugu, nawasihi; (mnawajua watu wa nyumbani mwa Stefana kwamba ni malimbuko ya Akaya, nao wamejitia katika kazi ya kuwahudumia watakatifu);


Nami nafurahi kwa sababu ya kuja kwao Stefana na Fortunato na Akaiko; maana hawa wamenikirimia kwa wingi yale niliyopungukiwa kwenu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo