Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wakorintho 1:15 - Swahili Revised Union Version

15 mtu asije akasema kwamba mlibatizwa kwa jina langu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Kwa hiyo hakuna awezaye kusema amebatizwa kwa jina langu. (

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Kwa hiyo hakuna awezaye kusema amebatizwa kwa jina langu. (

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Kwa hiyo hakuna awezaye kusema amebatizwa kwa jina langu. (

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Kwa hiyo hakuna mtu yeyote anayeweza kusema kwamba alibatizwa kwa jina langu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Kwa hiyo hakuna mtu yeyote anayeweza kusema kwamba alibatizwa kwa jina langu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

15 mtu asije akasema kwamba mlibatizwa kwa jina langu.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 1:15
7 Marejeleo ya Msalaba  

Basi, nendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;


naye akawabatiza katika mto wa Yordani, huku wakiziungama dhambi zao.


Yeye anenaye kwa nafsi yake tu hutafuta utukufu wake mwenyewe; bali yeye anayetafuta utukufu wake aliyemtuma, huyo ni wa kweli, wala ndani yake hamna udhalimu.


Nashukuru, kwa sababu sikumbatiza mtu kwenu, ila Krispo na Gayo;


Tena niliwabatiza watu wa nyumbani mwa Stefana; zaidi ya hao, sijui kama nilimbatiza mtu yeyote mwingine.


Maana nawaonea wivu, wivu wa Mungu; kwa kuwa niliwaposea mume mmoja, ili nimletee Kristo bikira safi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo