Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wafalme 6:25 - Swahili Revised Union Version

25 Na kerubi la pili lilikuwa mikono kumi; makerubi yote mawili walikuwa ya cheo kimoja na namna moja.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Kiumbe mwingine alikuwa na urefu wa mita 4.5; viumbe wote wawili walikuwa na vipimo vilevile na umbo lilelile.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Kiumbe mwingine alikuwa na urefu wa mita 4.5; viumbe wote wawili walikuwa na vipimo vilevile na umbo lilelile.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Kiumbe mwingine alikuwa na urefu wa mita 4.5; viumbe wote wawili walikuwa na vipimo vilevile na umbo lilelile.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Kerubi wa pili alikuwa na urefu wa dhiraa kumi pia, kwa kuwa makerubi hao wawili walifanana kwa vipimo na kwa umbo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Kerubi wa pili alikuwa na urefu wa dhiraa kumi pia, hivyo makerubi hao wawili walifanana kwa vipimo na kwa umbo.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

25 Na kerubi la pili lilikuwa mikono kumi; makerubi yote mawili yalikuwa ya cheo kimoja na namna moja.

Tazama sura Nakili




1 Wafalme 6:25
3 Marejeleo ya Msalaba  

Basi akamfukuza huyo mtu, akaweka Makerubi, upande wa mashariki wa bustani ya Edeni, na upanga wa moto uliogeuka huku na huko, kuilinda njia ya mti wa uzima.


Na bawa moja la kerubi lilikuwa mikono mitano urefu wake, na bawa la pili la kerubi mikono mitano; mikono kumi toka mwisho wa bawa moja hata mwisho wa bawa la pili.


Kwenda juu kwake kerubi moja kulikuwa mikono kumi, na kerubi la pili vivyo hivyo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo