Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wafalme 4:11 - Swahili Revised Union Version

11 Mwana wa Abinadabu katika Nafath-dori yote; ndiye aliyekuwa naye Tafathi binti Sulemani kuwa mke wake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Ben-abinadabu, mume wa Tafathi, binti Solomoni, alisimamia kanda yote ya Nafath-dori.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Ben-abinadabu, mume wa Tafathi, binti Solomoni, alisimamia kanda yote ya Nafath-dori.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Ben-abinadabu, mume wa Tafathi, binti Solomoni, alisimamia kanda yote ya Nafath-dori.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Ben-Abinadabu: katika Nafoth-Dori (alimwoa Tafathi binti Sulemani);

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Ben-Abinadabu: katika Nafoth-Dori (alimwoa Tafathi binti Sulemani);

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Mwana wa Abinadabu katika Nafath-dori yote; ndiye aliyekuwa naye Tafathi binti Sulemani kuwa mke wake.

Tazama sura Nakili




1 Wafalme 4:11
9 Marejeleo ya Msalaba  

Ahimaasi, katika Naftali; naye ndiye aliyemwoa Basemathi binti Sulemani.


Kisha ikawa, hapo huyo Yabini, mfalme wa Hazori, aliposikia habari ya mambo hayo, akatuma mjumbe aende kwa Yobabu, mfalme wa Madoni, na kwa mfalme wa Shimroni, na mfalme wa Akshafu,


na hao wafalme waliokuwa upande wa kaskazini, katika nchi ya vilima, na katika Araba upande wa kusini wa Kinerethi, na katika Shefela, na katika nchi tambarare za Dori upande wa magharibi,


mfalme wa Dori katika kilima cha Dori, mmoja; na mfalme wa makabila katika Gilgali, mmoja;


Tena Manase alikuwa na miji katika Isakari na katika Asheri, nayo ni hii, Beth-sheani na vijiji vyake, Ibleamu na miji yake, wenyeji wa Dori na miji yake, wenyeji wa Endori na miji yake, wenyeji wa Taanaki na miji yake, wenyeji wa Megido na miji yake, na pia theluthi ya Nafathi.


Tena Manase hakuwatoa wenyeji wa Beth-sheani na miji yake, wala hao waliokaa Taanaki na miji yake, wala hao waliokaa Dori na miji yake, wala hao waliokaa Ibleamu na miji yake, wala hao waliokaa Megido na miji yake; lakini hao Wakanaani walikuwa hawakukubali kuiacha nchi hiyo.


Ikawa walipokuja, alimtazama Eliabu, akasema, Yakini masihi wa BWANA yupo hapa mbele zake.


Ndipo Yese akamwita Abinadabu, akampitisha mbele ya Samweli. Naye akasema, BWANA hakumchagua huyu.


Ndipo Yese akampitisha Shama. Naye akasema, Wala BWANA hakumchagua huyu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo