Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wafalme 2:41 - Swahili Revised Union Version

41 Naye Sulemani akaambiwa, ya kwamba Shimei alikuwa ametoka Yerusalemu kwenda Gathi, na kurudi tena.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

41 Mfalme Solomoni alipopata habari kwamba Shimei alikuwa ametoka Yerusalemu, akaenda Gathi na kurudi,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

41 Mfalme Solomoni alipopata habari kwamba Shimei alikuwa ametoka Yerusalemu, akaenda Gathi na kurudi,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

41 Mfalme Solomoni alipopata habari kwamba Shimei alikuwa ametoka Yerusalemu, akaenda Gathi na kurudi,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

41 Sulemani alipoambiwa kuwa Shimei ametoka Yerusalemu na kwenda Gathi na amekwisha kurudi,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

41 Sulemani alipoambiwa kuwa Shimei ametoka Yerusalemu na kwenda Gathi na amekwisha kurudi,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

41 Naye Sulemani akaambiwa, ya kwamba Shimei alikuwa ametoka Yerusalemu kwenda Gathi, na kurudi tena.

Tazama sura Nakili




1 Wafalme 2:41
2 Marejeleo ya Msalaba  

Shimei akaondoka, akatandika punda wake, akaenda Gathi kwa Akishi, ili kuwatafuta watumwa wake. Akaenda Shimei, akawaleta watumwa wake toka Gathi.


Basi, mfalme akatuma watu, akamwita Shimei, akamwambia, Je! Sikukuapisha kwa BWANA, na kukushuhudia, kusema, Siku ile utakapotoka ukaenda mahali popote, ujue kwamba hakika utakufa? Nawe ukaniambia, Neno hili nililolisikia ni jema?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo