1 Wafalme 18:9 - Swahili Revised Union Version9 Akamwambia, Nimekosa nini, hata unitie mimi mtumishi wako mkononi mwa Ahabu, aniue? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Obadia akasema, “Nimekosa nini hata utake kunitia hatarini ili niuawe na mfalme Ahabu? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Obadia akasema, “Nimekosa nini hata utake kunitia hatarini ili niuawe na mfalme Ahabu? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Obadia akasema, “Nimekosa nini hata utake kunitia hatarini ili niuawe na mfalme Ahabu? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Obadia akamuuliza, “Ni kosa gani nimefanya, hata ukaamua kumkabidhi mtumishi wako mkononi mwa Ahabu ili aniue? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Obadia akamuuliza, “Ni kosa gani nimefanya, hata ukaamua kumkabidhi mtumishi wako mkononi mwa Ahabu ili aniue? Tazama suraBIBLIA KISWAHILI9 Akamwambia, Nimekosa nini, hata unitie mimi mtumishi wako mkononi mwa Ahabu, aniue? Tazama sura |