1 Wafalme 15:3 - Swahili Revised Union Version3 Akaziendea dhambi zote za babaye, alizozifanya kabla yake; wala moyo wake haukuwa mkamilifu na BWANA, Mungu wake, kama moyo wa Daudi babaye. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Abiya alitenda dhambi zilezile alizotenda baba yake, wala hakuwa na moyo mwaminifu kwa Mwenyezi-Mungu, Mungu wake, kama alivyokuwa babu yake Daudi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Abiya alitenda dhambi zilezile alizotenda baba yake, wala hakuwa na moyo mwaminifu kwa Mwenyezi-Mungu, Mungu wake, kama alivyokuwa babu yake Daudi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Abiya alitenda dhambi zilezile alizotenda baba yake, wala hakuwa na moyo mwaminifu kwa Mwenyezi-Mungu, Mungu wake, kama alivyokuwa babu yake Daudi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Alitenda dhambi zote baba yake alizotenda kabla yake; moyo wake haukuwa mkamilifu kwa Mwenyezi Mungu, Mungu wake, kama moyo wa Daudi baba yake ulivyokuwa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Alitenda dhambi zote baba yake alizotenda kabla yake; moyo wake haukuwa mkamilifu kwa bwana Mwenyezi Mungu wake kama moyo wa Daudi baba yake ulivyokuwa. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI3 Akaziendea dhambi zote za babaye, alizozifanya kabla yake; wala moyo wake haukuwa mkamilifu kwa BWANA, Mungu wake, kama moyo wa Daudi babaye. Tazama sura |