Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wafalme 15:1 - Swahili Revised Union Version

1 Mwaka wa kumi na nane wa mfalme Yeroboamu mwana wa Nebati, Abiya alianza kutawala juu ya Yuda.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Abiya alianza kutawala huko Yuda mnamo mwaka wa kumi na nane wa utawala wa mfalme Yeroboamu, mwanawe Nebati.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Abiya alianza kutawala huko Yuda mnamo mwaka wa kumi na nane wa utawala wa mfalme Yeroboamu, mwanawe Nebati.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Abiya alianza kutawala huko Yuda mnamo mwaka wa kumi na nane wa utawala wa mfalme Yeroboamu, mwanawe Nebati.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Katika mwaka wa kumi na nane wa utawala wa Yeroboamu mwana wa Nebati, Abiya akawa mfalme wa Yuda,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Katika mwaka wa kumi na nane wa utawala wa Yeroboamu mwana wa Nebati, Abiya akawa mfalme wa Yuda,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

1 Mwaka wa kumi na nane wa mfalme Yeroboamu mwana wa Nebati, Abiya alianza kutawala juu ya Yuda.

Tazama sura Nakili




1 Wafalme 15:1
4 Marejeleo ya Msalaba  

Rehoboamu akalala na babaze, akazikwa pamoja na babaze mjini mwa Daudi. Na jina la mamaye aliitwa Naama, Mwamoni. Na mwanawe, Abiya, alitawala mahali pake.


ya kumi na saba Heziri, ya kumi na nane Hapisesi;


Kisha baada yake akamwoa Maaka, binti Absalomu; na yeye akamzalia Abiya, na Atai, na Ziza, na Shelomithi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo