1 Wafalme 13:9 - Swahili Revised Union Version9 maana ndivyo nilivyoagizwa kwa neno la BWANA, kusema, Usile chakula chochote wala usinywe maji, wala usirudi kwa njia ile uliyoijia. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 kwani Mwenyezi-Mungu aliniamuru nisile chakula au kunywa maji, wala nisirudi kwa njia ileile niliyoifuata kuja hapa.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 kwani Mwenyezi-Mungu aliniamuru nisile chakula au kunywa maji, wala nisirudi kwa njia ileile niliyoifuata kuja hapa.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 kwani Mwenyezi-Mungu aliniamuru nisile chakula au kunywa maji, wala nisirudi kwa njia ileile niliyoifuata kuja hapa.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Kwa kuwa niliagizwa kwa neno la Mwenyezi Mungu: ‘Kamwe usile mkate wala usinywe maji au kurudi kwa njia uliyojia.’ ” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Kwa kuwa niliagizwa kwa neno la bwana: ‘Kamwe usile mkate wala usinywe maji au kurudi kwa njia uliyojia.’ ” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI9 maana ndivyo nilivyoagizwa kwa neno la BWANA, kusema, Usile chakula chochote wala usinywe maji, wala usirudi kwa njia ile uliyoijia. Tazama sura |