Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wafalme 13:10 - Swahili Revised Union Version

10 Basi akaenda zake kwa njia nyingine, wala hakurudi kwa njia ile aliyoijia Betheli.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Basi, mtu huyo akaenda zake, wala hakurudi kwa njia ile aliyoijia Betheli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Basi, mtu huyo akaenda zake, wala hakurudi kwa njia ile aliyoijia Betheli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Basi, mtu huyo akaenda zake, wala hakurudi kwa njia ile aliyoijia Betheli.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Hivyo, akafuata njia nyingine na hakurudi kupitia njia aliyokuwa ameijia Betheli.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Kwa hiyo akafuata njia nyingine na hakurudi kupitia njia ile ambayo alikuwa ameijia Betheli.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

10 Basi akaenda zake kwa njia nyingine, wala hakurudi kwa njia ile aliyoijia Betheli.

Tazama sura Nakili




1 Wafalme 13:10
2 Marejeleo ya Msalaba  

Basi nabii mmoja mzee alikuwa akikaa katika Betheli; na wanawe wakamwendea wakamwambia kila neno alilolitenda yule mtu wa Mungu siku ile katika Betheli; na maneno aliyomwambia mfalme, hayo nayo walimwambia baba yao.


maana ndivyo nilivyoagizwa kwa neno la BWANA, kusema, Usile chakula chochote wala usinywe maji, wala usirudi kwa njia ile uliyoijia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo