Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wafalme 13:20 - Swahili Revised Union Version

20 Hata ikawa, walipokuwa wameketi mezani, neno la BWANA likamjia nabii yule aliyemrudisha;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Walipokuwa mezani, neno la Mwenyezi-Mungu likamjia huyo nabii mzee,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Walipokuwa mezani, neno la Mwenyezi-Mungu likamjia huyo nabii mzee,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Walipokuwa mezani, neno la Mwenyezi-Mungu likamjia huyo nabii mzee,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Walipokuwa wameketi mezani, neno la Mwenyezi Mungu likamjia yule nabii mzee aliyemrudisha huyo mtu wa Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Wakati walipokuwa wameketi mezani, neno la bwana likamjia yule nabii mzee aliyemrudisha huyo mtu wa Mungu.

Tazama sura Nakili




1 Wafalme 13:20
9 Marejeleo ya Msalaba  

Basi mtu yule akarudi pamoja naye, akala chakula, akanywa maji nyumbani mwake.


akamlilia yule mtu wa Mungu aliyetoka katika Yuda, akinena, BWANA asema hivi, Kwa sababu umeiasi kauli ya BWANA, wala hukuishika amri ile aliyokuamuru BWANA, Mungu wako,


BWANA akaonana na Balaamu akatia neno kinywani mwake, akasema, Umrudie Balaki, ukaseme hivi.


BWANA akatia neno katika kinywa chake Balaamu, akasema, Umrudie Balaki; ukaseme maneno haya.


Asema, yeye asikiaye maneno ya Mungu, Yeye aonaye maono ya Mwenyezi, Akianguka kifudifudi, amefumbuliwa macho;


Wengi wataniambia siku ile, Bwana, Bwana, hatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa jina lako kutoa pepo, na kwa jina lako kufanya miujiza mingi?


Na neno hilo yeye hakulisema kwa nafsi yake; bali kwa kuwa alikuwa Kuhani Mkuu mwaka ule, alitabiri ya kwamba Yesu atakufa kwa ajili ya taifa hilo.


Tena nijapokuwa na unabii, na kujua siri zote na maarifa yote, nijapokuwa na imani timilifu kiasi cha kuweza kuhamisha milima, kama sina upendo, mimi si kitu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo