1 Wafalme 13:19 - Swahili Revised Union Version19 Basi mtu yule akarudi pamoja naye, akala chakula, akanywa maji nyumbani mwake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema19 Basi, mtu wa Mungu akarudi pamoja naye, akala chakula na kunywa maji kwa huyo mzee. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND19 Basi, mtu wa Mungu akarudi pamoja naye, akala chakula na kunywa maji kwa huyo mzee. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza19 Basi, mtu wa Mungu akarudi pamoja naye, akala chakula na kunywa maji kwa huyo mzee. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu19 Hivyo mtu wa Mungu akarudi pamoja naye na akala na kunywa katika nyumba yake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu19 Hivyo mtu wa Mungu akarudi pamoja naye na akala na kunywa katika nyumba yake. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI19 Basi mtu yule akarudi pamoja naye, akala chakula, akanywa maji nyumbani mwake. Tazama sura |
Na yule nabii, au yule mwotaji wa ndoto, na auawe, kwa kuwa amesema yaliyopotoka juu ya BWANA, Mungu wenu, aliyewatoa katika nchi ya Misri, akakukomboa katika nyumba ya utumwa, apate yule mtu kukupotoa katika njia aliyokuamuru BWANA, Mungu wako, uiendee. Ndivyo utakavyouondoa uovu utoke katikati yako.