Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wafalme 13:19 - Swahili Revised Union Version

19 Basi mtu yule akarudi pamoja naye, akala chakula, akanywa maji nyumbani mwake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Basi, mtu wa Mungu akarudi pamoja naye, akala chakula na kunywa maji kwa huyo mzee.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Basi, mtu wa Mungu akarudi pamoja naye, akala chakula na kunywa maji kwa huyo mzee.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Basi, mtu wa Mungu akarudi pamoja naye, akala chakula na kunywa maji kwa huyo mzee.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Hivyo mtu wa Mungu akarudi pamoja naye na akala na kunywa katika nyumba yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Hivyo mtu wa Mungu akarudi pamoja naye na akala na kunywa katika nyumba yake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

19 Basi mtu yule akarudi pamoja naye, akala chakula, akanywa maji nyumbani mwake.

Tazama sura Nakili




1 Wafalme 13:19
10 Marejeleo ya Msalaba  

Mwanamke alipoona ya kuwa ule mti wafaa kwa chakula, wapendeza macho, nao ni mti wa kutamanika kwa maarifa, basi alichuma matunda yake akala, akampa na mumewe, naye akala.


Akamwambia, Mimi nami ni nabii kama wewe, na malaika akaniambia kwa neno la BWANA, kusema, Mrudishe pamoja nawe nyumbani kwako, ale chakula, akanywe maji. Lakini alisema uongo.


Hata ikawa, walipokuwa wameketi mezani, neno la BWANA likamjia nabii yule aliyemrudisha;


maana ndivyo nilivyoagizwa kwa neno la BWANA, kusema, Usile chakula chochote wala usinywe maji, wala usirudi kwa njia ile uliyoijia.


Petro na Yohana wakawajibu wakawaambia, Kama ni haki mbele za Mungu kuwasikiliza ninyi kuliko Mungu, hukumuni ninyi wenyewe;


Kukizuka katikati yako nabii, au mwotaji wa ndoto, akikutolea ishara au ajabu,


wewe usiyasikize maneno ya nabii yule, au yule mwotaji wa ndoto, kwa kuwa BWANA, Mungu wenu, yuawajaribu, apate kujua kwamba mwampenda BWANA, Mungu wenu, kwa mioyo yenu yote na roho zenu zote.


Na yule nabii, au yule mwotaji wa ndoto, na auawe, kwa kuwa amesema yaliyopotoka juu ya BWANA, Mungu wenu, aliyewatoa katika nchi ya Misri, akakukomboa katika nyumba ya utumwa, apate yule mtu kukupotoa katika njia aliyokuamuru BWANA, Mungu wako, uiendee. Ndivyo utakavyouondoa uovu utoke katikati yako.


Lakini nabii atakayenena neno kwa kujikinai kwa jina langu, ambalo sikumwagiza kulinena, au atakayenena katika jina la miungu mingine, nabii yule atakufa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo