Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wafalme 13:12 - Swahili Revised Union Version

12 Baba yao akawaambia, Amekwenda zake kwa njia ipi? Kwa maana wanawe walikuwa wameiona njia ile aliyoiendea yule mtu wa Mungu aliyetoka katika Yuda.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Baba yao akawauliza, “Amefuata njia ipi?” Nao wakamwonesha njia aliyoifuata huyo mtu wa Mungu kutoka Yuda.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Baba yao akawauliza, “Amefuata njia ipi?” Nao wakamwonesha njia aliyoifuata huyo mtu wa Mungu kutoka Yuda.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Baba yao akawauliza, “Amefuata njia ipi?” Nao wakamwonesha njia aliyoifuata huyo mtu wa Mungu kutoka Yuda.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Baba yao akawauliza, “Ameelekea njia gani?” Nao wanawe wakamwonesha ile njia yule mtu wa Mungu kutoka Yuda aliyopita.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Baba yao akawauliza, “Ameelekea njia gani?” Nao wanawe wakamwonyesha ile njia yule mtu wa Mungu kutoka Yuda aliyopita.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

12 Baba yao akawaambia, Amekwenda zake kwa njia ipi? Kwa maana wanawe walikuwa wameiona njia ile aliyoiendea yule mtu wa Mungu aliyetoka katika Yuda.

Tazama sura Nakili




1 Wafalme 13:12
2 Marejeleo ya Msalaba  

Basi nabii mmoja mzee alikuwa akikaa katika Betheli; na wanawe wakamwendea wakamwambia kila neno alilolitenda yule mtu wa Mungu siku ile katika Betheli; na maneno aliyomwambia mfalme, hayo nayo walimwambia baba yao.


Akawaambia wanawe, Nitandikieni punda. Wakamtandikia punda, naye akampanda.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo