1 Wafalme 11:6 - Swahili Revised Union Version6 Sulemani akafanya yaliyo mabaya machoni pa BWANA, wala hakumfuata BWANA kwa utimilifu, kama Daudi baba yake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Hivyo, Solomoni alitenda maovu mbele ya Mwenyezi-Mungu, wala hakufuata kwa ukamilifu matakwa ya Mwenyezi-Mungu kama baba yake Daudi alivyokuwa amefanya. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Hivyo, Solomoni alitenda maovu mbele ya Mwenyezi-Mungu, wala hakufuata kwa ukamilifu matakwa ya Mwenyezi-Mungu kama baba yake Daudi alivyokuwa amefanya. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Hivyo, Solomoni alitenda maovu mbele ya Mwenyezi-Mungu, wala hakufuata kwa ukamilifu matakwa ya Mwenyezi-Mungu kama baba yake Daudi alivyokuwa amefanya. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Kwa hiyo Sulemani akafanya uovu machoni pa Mwenyezi Mungu; hakumfuata Mwenyezi Mungu kikamilifu kama alivyofanya Daudi baba yake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Kwa hiyo Sulemani akafanya uovu machoni pa bwana; hakumfuata bwana kikamilifu kama alivyofanya Daudi baba yake. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI6 Sulemani akafanya yaliyo mabaya machoni pa BWANA, wala hakumfuata BWANA kwa utimilifu, kama Daudi baba yake. Tazama sura |