1 Wafalme 11:41 - Swahili Revised Union Version41 Nayo yaliyosalia ya Sulemani, mambo yake na yote aliyoyafanya, na hekima yake, je! Hayo siyo yaliyoandikwa kitabuni mwa mambo yake Sulemani? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema41 Mambo mengine ya Solomoni, yote aliyotenda na hekima yake, yameandikwa katika Kitabu cha Matendo ya Solomoni. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND41 Mambo mengine ya Solomoni, yote aliyotenda na hekima yake, yameandikwa katika Kitabu cha Matendo ya Solomoni. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza41 Mambo mengine ya Solomoni, yote aliyotenda na hekima yake, yameandikwa katika Kitabu cha Matendo ya Solomoni. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu41 Kuhusu matukio mengine ya utawala wa Sulemani, yote aliyoyafanya na hekima aliyoionesha, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za Sulemani? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu41 Kwa habari za matukio mengine ya utawala wa Sulemani, yote aliyoyafanya na hekima aliyoionyesha, je hayakuandikwa yote katika kitabu cha matendo cha Sulemani? Tazama sura |