1 Wafalme 11:39 - Swahili Revised Union Version39 Tena nitawatesa wazao wa Daudi kwa sababu hii, lakini si daima. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema39 Kutokana na hayo, nitawaadhibu wazawa wa Daudi, lakini si daima.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND39 Kutokana na hayo, nitawaadhibu wazawa wa Daudi, lakini si daima.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza39 Kutokana na hayo, nitawaadhibu wazawa wa Daudi, lakini si daima.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu39 Nitawatesa wazao wa Daudi kwa ajili ya haya, lakini siyo milele.’ ” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu39 Nitawatesa wazao wa Daudi kwa ajili ya hili, lakini siyo milele.’ ” Tazama sura |
Tena itakuwa, ukiyasikia yote nitakayokuamuru, na kuenda katika njia zangu, na kutenda yaliyo mema machoni pangu, ili kuzishika amri zangu na hukumu zangu kama Daudi mtumishi wangu alivyotenda, basi, nitakuwa pamoja nawe, nitakujengea nyumba iliyo imara, kama nilivyomjengea Daudi, nami nitakupa wewe Israeli.