1 Wafalme 11:3 - Swahili Revised Union Version3 Akawa na wake mia saba binti za kifalme, na masuria mia tatu; nao wake zake wakamgeuza moyo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Solomoni akawa na wanawake 700, wote mabinti wa kifalme; na masuria 300. Hao wanawake wakampotosha. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Solomoni akawa na wanawake 700, wote mabinti wa kifalme; na masuria 300. Hao wanawake wakampotosha. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Solomoni akawa na wanawake 700, wote mabinti wa kifalme; na masuria 300. Hao wanawake wakampotosha. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Alikuwa na wake mia saba, binti za uzao wa kifalme, na masuria mia tatu; nao wake zake wakampotosha. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Alikuwa na wake 700 mabinti wa uzao wa kifalme, na masuria 300, nao wake zake wakampotosha. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI3 Akawa na wake mia saba binti za kifalme, na masuria mia tatu; nao wake zake wakamgeuza moyo. Tazama sura |