Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wafalme 11:16 - Swahili Revised Union Version

16 (kwa kuwa Yoabu alikaa huko miezi sita pamoja na Israeli wote, hadi alipompoteza kila mwanamume wa Edomu);

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 (Yoabu alikaa huko na wanajeshi wake kwa muda wa miezi sita, apate kuwaangamiza kabisa wanaume wote wa Edomu.)

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 (Yoabu alikaa huko na wanajeshi wake kwa muda wa miezi sita, apate kuwaangamiza kabisa wanaume wote wa Edomu.)

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 (Yoabu alikaa huko na wanajeshi wake kwa muda wa miezi sita, apate kuwaangamiza kabisa wanaume wote wa Edomu.)

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Yoabu na Waisraeli wote walikaa huko kwa miezi sita, hadi walipomaliza kuwaangamiza wanaume wote huko Edomu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Yoabu na Waisraeli wote walikaa huko kwa miezi sita, mpaka walipomaliza kuwaangamiza wanaume wote huko Edomu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

16 (kwa kuwa Yoabu alikaa huko miezi sita pamoja na Israeli wote, hadi alipompoteza kila mwanamume wa Edomu);

Tazama sura Nakili




1 Wafalme 11:16
3 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana ikawa, Daudi alipokuwako Edomu, naye Yoabu, mkuu wa jeshi, amepanda awazike waliouawa, akiisha kumpiga kila mwanamume wa Edomu,


yule Hadadi alikimbia, yeye na Waedomi wengine, watumishi wa baba yake, pamoja naye, waende Misri; yule Hadadi angali ni mtoto mdogo.


Nao wakapigana na Midiani kama BWANA alivyomwagiza Musa; nao wakawaua kila mwanamume.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo