Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wafalme 10:29 - Swahili Revised Union Version

29 Tena gari huja kutoka katika Misri kwa shekeli mia sita za fedha, na farasi mmoja kwa mia moja na hamsini; hivyo basi watu wakawaletea wafalme wote wa Wahiti, na wafalme wa Shamu, mikononi mwao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

29 Gari moja la kukokotwa liliweza kununuliwa huko Misri kwa fedha ipatayo kilo 7, na farasi mmoja aliweza kugharimu fedha kilo 2. Wafanyabiashara wa mfalme walisafirisha magari na farasi hao na kuwauzia wafalme wote wa Wahiti na wa Wasiria.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

29 Gari moja la kukokotwa liliweza kununuliwa huko Misri kwa fedha ipatayo kilo 7, na farasi mmoja aliweza kugharimu fedha kilo 2. Wafanyabiashara wa mfalme walisafirisha magari na farasi hao na kuwauzia wafalme wote wa Wahiti na wa Wasiria.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

29 Gari moja la kukokotwa liliweza kununuliwa huko Misri kwa fedha ipatayo kilo 7, na farasi mmoja aliweza kugharimu fedha kilo 2. Wafanyabiashara wa mfalme walisafirisha magari na farasi hao na kuwauzia wafalme wote wa Wahiti na wa Wasiria.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

29 Walinunua magari ya vita kutoka Misri kwa shekeli mia sita za fedha kila moja, na kila farasi kwa shekeli mia moja na hamsini; na wakawauzia wafalme wote wa Wahiti na wa Waaramu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

29 Waliagiza magari kutoka Misri kwa bei ya shekeli 600 za fedha na farasi kwa shekeli 150. Pia waliwauza nje kwa wafalme wote wa Wahiti na wa Waaramu.

Tazama sura Nakili




1 Wafalme 10:29
6 Marejeleo ya Msalaba  

Nao walipandisha na kununua gari kutoka Misri kwa shekeli mia sita za fedha; na farasi kwa mia moja na hamsini, vivyo hivyo wakawauzia wafalme wote Wahiti na wafalme wa Shamu.


Tena nimenena na hao manabii, nami nimeongeza maono, na kwa utumishi wa manabii nimetumia mifano.


Ufunuo wa neno la BWANA kwa Israeli kwa mkono wa Malaki


Toka jangwa hili na mlima huu, Lebanoni, mpaka mto ule mkubwa, mto wa Frati, nchi yote ya Wahiti, tena mpaka bahari ile kubwa upande wa machweo ya jua, hapo ndipo patakapokuwa mpaka wenu.


Ndipo Daudi akajibu, akamwambia Ahimeleki, Mhiti, na Abishai, mwana wa Seruya, ndugu yake Yoabu, akisema, Ni nani atakayeshuka pamoja nami kwa Sauli kambini? Abishai akasema, Mimi nitashuka pamoja nawe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo