1 Timotheo 4:2 - Swahili Revised Union Version2 kwa unafiki wa watu wasemao uongo, wakichomwa moto dhamiri zao wenyewe; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 Mafundisho ya namna hiyo yanaenezwa na watu waongo wadanganyifu, ambao dhamiri zao ziko kama zimechomwa kwa chuma cha moto. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 Mafundisho ya namna hiyo yanaenezwa na watu waongo wadanganyifu, ambao dhamiri zao ziko kama zimechomwa kwa chuma cha moto. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 Mafundisho ya namna hiyo yanaenezwa na watu waongo wadanganyifu, ambao dhamiri zao ziko kama zimechomwa kwa chuma cha moto. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 Mafundisho kama hayo huja kupitia kwa waongo ambao ni wanafiki, hali dhamiri zao zikiungua kwa kuchomwa moto. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 Mafundisho kama hayo huja kupitia kwa waongo ambao ni wanafiki, hali dhamiri zao zikiungua kwa kuchomwa moto. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI2 kwa unafiki wa watu wasemao uongo, wakichomwa moto dhamiri zao wenyewe; Tazama sura |