1 Timotheo 4:13 - Swahili Revised Union Version13 Hata nitakapokuja, ufanye bidii katika kusoma Maandiko, kuonya na kufundisha. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Tumia wakati wako na juhudi yako katika kusoma hadharani Maandiko Matakatifu, kuhubiri na kufundisha, mpaka nitakapokuja. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Tumia wakati wako na juhudi yako katika kusoma hadharani Maandiko Matakatifu, kuhubiri na kufundisha, mpaka nitakapokuja. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Tumia wakati wako na juhudi yako katika kusoma hadharani Maandiko Matakatifu, kuhubiri na kufundisha, mpaka nitakapokuja. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Fanya bidii kusoma Maandiko hadharani, kuhubiri na kufundisha, hadi nitakapokuja. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Fanya bidii kusoma Maandiko hadharani, kuhubiri na kufundisha, mpaka nitakapokuja. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI13 Hata nitakapokuja, ufanye bidii katika kusoma Maandiko, kuonya na kufundisha. Tazama sura |