1 Timotheo 2:5 - Swahili Revised Union Version5 Kwa sababu Mungu ni mmoja, na mpatanishi kati ya Mungu na wanadamu ni mmoja, Mwanadamu Kristo Yesu; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Maana yuko Mungu mmoja, na pia yuko mmoja anayewapatanisha watu na Mungu, binadamu Kristo Yesu, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Maana yuko Mungu mmoja, na pia yuko mmoja anayewapatanisha watu na Mungu, binadamu Kristo Yesu, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Maana yuko Mungu mmoja, na pia yuko mmoja anayewapatanisha watu na Mungu, binadamu Kristo Yesu, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Kwa maana kuna Mungu mmoja na mpatanishi mmoja kati ya Mungu na wanadamu, yaani mwanadamu Al-Masihi Isa, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Kwa maana kuna Mungu mmoja na mpatanishi mmoja kati ya Mwenyezi Mungu na wanadamu, yaani mwanadamu Al-Masihi Isa, Tazama suraBIBLIA KISWAHILI5 Kwa sababu Mungu ni mmoja, na mpatanishi kati ya Mungu na wanadamu ni mmoja, Mwanadamu Kristo Yesu; Tazama sura |