Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Timotheo 2:3 - Swahili Revised Union Version

3 Hili ni zuri, nalo lakubalika mbele za Mungu Mwokozi wetu;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Jambo hili ni jema na lampendeza Mungu Mwokozi wetu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Jambo hili ni jema na lampendeza Mungu Mwokozi wetu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Jambo hili ni jema na lampendeza Mungu Mwokozi wetu,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Jambo hili ni jema, tena linapendeza machoni pa Mungu Mwokozi wetu,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Jambo hili ni jema, tena linapendeza machoni pa Mungu Mwokozi wetu,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

3 Hili ni zuri, nalo lakubalika mbele za Mungu Mwokozi wetu;

Tazama sura Nakili




1 Timotheo 2:3
16 Marejeleo ya Msalaba  

Hubirini, toeni habari; naam, na wafanye mashauri pamoja; ni nani aliyeonesha haya tangu zamani za kale? Ni nani aliyeyahubiri hapo zamani? Si mimi, BWANA? Wala hapana Mungu zaidi ya mimi; Mungu mwenye haki, mwokozi; hapana mwingine zaidi ya mimi.


Na roho yangu imemfurahia Mungu, Mwokozi wangu;


Kwa kuwa yeye amtumikiaye Kristo katika mambo hayo humpendeza Mungu, tena hukubaliwa na wanadamu.


akiwa mmejazwa matunda ya haki, kwa njia ya Yesu Kristo, kwa utukufu na sifa ya Mungu.


Lakini ninavyo vitu vyote na kuzidi, tena nimejaa tele; nimepokea kwa mkono wa Epafrodito vitu vile vilivyotoka kwenu, harufu ya manukato, sadaka yenye kibali, impendezayo Mungu.


mwenende kama ulivyo wajibu wenu kwa Bwana, mkimpendeza kabisa; mkizaa matunda kwa kila kazi njema, na kuzidi katika maarifa ya Mungu;


Iliyobaki, ndugu, tunawasihi na kuwaonya kwamba mwenende katika Bwana Yesu; kama mlivyopokea kwetu jinsi iwapasavyo kuenenda na kumpendeza Mungu, kama nanyi mnavyoenenda, vivyo hivyo mpate kuzidi sana.


Paulo, mtume wa Kristo Yesu, kwa amri ya Mungu Mwokozi wetu na Kristo Yesu, tarajio letu;


kwa maana twajitaabisha na kujitahidi kwa kusudi hili, kwa sababu tunamtumaini Mungu aliye hai, aliye Mwokozi wa watu wote, hasa wa wale waaminio.


Lakini mjane akiwa ana watoto au wajukuu, na wajifunze kwanza kuyatenda yaliyo wajibu wao kwa jamaa zao wenyewe, na kuwalipa wazazi wao. Kwa kuwa hili lakubalika mbele za Mungu.


ambaye alituokoa akatuita kwa mwito mtakatifu, si kwa kadiri ya matendo yetu sisi, bali kwa kadiri ya makusudi yake mwenyewe na neema yake. Neema hiyo tulipewa katika Kristo Yesu kabla ya wakati kuanza,


Lakini msisahau kutenda mema na kushirikiana; maana sadaka kama hizi ndizo zimpendezazo Mungu.


Kwa maana ni sifa gani kustahimili, mtendapo dhambi na kupigwa makofi? Lakini kustahimili, mtendapo mema na kupata mateso, huu ndio wema hasa mbele za Mungu.


Ninyi nanyi, kama mawe yaliyo hai, mmejengwa muwe nyumba ya Roho, ukuhani mtakatifu, mtoe dhabihu za roho, zinazokubaliwa na Mungu, kwa njia ya Yesu Kristo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo