Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Timotheo 2:11 - Swahili Revised Union Version

11 Mwanamke na ajifunze katika utulivu, akitii kwa kila namna.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Wanawake wanapaswa kukaa kimya na kuwa wanyenyekevu wakati wa kujifunza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Wanawake wanapaswa kukaa kimya na kuwa wanyenyekevu wakati wa kujifunza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Wanawake wanapaswa kukaa kimya na kuwa wanyenyekevu wakati wa kujifunza.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Mwanamke na ajifunze katika utulivu na utiifu wote.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Mwanamke na ajifunze kwa utulivu na kwa utiifu wote.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Mwanamke na ajifunze katika utulivu, akitii kwa kila namna.

Tazama sura Nakili




1 Timotheo 2:11
10 Marejeleo ya Msalaba  

Akamwambia mwanamke, Hakika nitakuzidishia uchungu wako, na kuzaa kwako; kwa uchungu utazaa watoto; hata hivyo, hamu yako itakuwa kwa mumeo, naye atakutawala.


Basi mbiu ya mfalme atakayoipiga itakapotangazwa katika ufalme wake wote, nao ni mkubwa, wake wote watawaheshimu waume zao, wakubwa kwa wadogo.


Lakini nataka mjue ya kuwa kichwa cha kila mwanamume ni Kristo, na kichwa cha mwanamke ni mwanamume, na kichwa cha Kristo ni Mungu.


Ninyi wake, watiini waume zenu, kama ipendezavyo katika Bwana.


bali kwa matendo mema, kama iwapasavyo wanawake wanaoukiri uchaji wa Mungu.


na kuwa wenye kiasi, kuwa safi, kufanya kazi nyumbani mwao, kuwa wema, kuwatii waume zao wenyewe; ili neno la Mungu lisitukanwe.


Kadhalika ninyi wake, watiini waume zenu; kusudi, ikiwa wako wasioliamini Neno, wavutwe kwa mwenendo wa wake zao, pasipo lile Neno;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo