Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Timotheo 2:10 - Swahili Revised Union Version

10 bali kwa matendo mema, kama iwapasavyo wanawake wanaoukiri uchaji wa Mungu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 bali kwa matendo mema kama iwapasavyo wanawake wamchao Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 bali kwa matendo mema kama iwapasavyo wanawake wamchao Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 bali kwa matendo mema kama iwapasavyo wanawake wamchao Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 bali kwa matendo mazuri kama iwapasavyo wanawake wanaokiri kuwa wanamcha Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 bali kwa matendo mazuri kama iwapasavyo wanawake wanaokiri kuwa wanamcha Mungu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

10 bali kwa matendo mema, kama iwapasavyo wanawake wanaoukiri uchaji wa Mungu.

Tazama sura Nakili




1 Timotheo 2:10
15 Marejeleo ya Msalaba  

Nguvu na hadhi ndiyo mavazi yake; Anaucheka wakati ujao.


Mpe mapato ya mikono yake, Na matendo yake yamsifu malangoni.


Na mwanafunzi mmoja alikuwako Yafa, jina lake Tabitha, tafsiri yake ni Dorkasi (yaani paa); mwanamke huyu alikuwa amejaa matendo mema na sadaka alizozitoa.


Petro akaondoka akafuatana nao. Alipofika, wakampeleka juu ghorofani wajane wote wakasimama karibu naye, wakilia na kumwonesha zile kanzu na nguo alizozishona Dorkasi wakati ule alipokuwa pamoja nao.


Maana tu kazi yake, tuliumbwa katika Kristo Yesu, tutende matendo mema, ambayo tokea awali Mungu aliyatengeneza ili tuenende nayo.


Mwanamke na ajifunze katika utulivu, akitii kwa kila namna.


Vivyo hivyo wanawake na wajipambe kwa mavazi ya kujisitiri, pamoja na adabu nzuri, na moyo wa kiasi; si kwa kusuka nywele, wala kwa dhahabu na lulu, wala kwa nguo za thamani;


ambaye alijitoa nafsi yake kwa ajili yetu, ili atukomboe na maasi yote, na kujisafishia watu wake mwenyewe walio na bidii katika matendo mema.


Ni neno la kuaminiwa; na mambo hayo nataka uyasisitizie sana, ili wale waliomwamini Mungu wakumbuke kudumu katika matendo mema. Mambo hayo ni mazuri sana, tena yana manufaa kwa wanadamu.


Muwe na mwenendo mzuri kati ya Mataifa, ili, iwapo huwasingizia kuwa watenda mabaya, wayatazamapo matendo yenu mazuri, wamtukuze Mungu siku ya kujiliwa.


Basi, kwa kuwa vitu hivi vyote vitafumuliwa hivyo, imewapasa ninyi kuwa watu wa tabia gani katika mwenendo mtakatifu na utauwa,


Nayajua matendo yako na upendo na imani na huduma na subira yako; tena kwamba matendo yako ya mwisho yamezidi yale ya kwanza.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo