1 Timotheo 2:10 - Swahili Revised Union Version10 bali kwa matendo mema, kama iwapasavyo wanawake wanaoukiri uchaji wa Mungu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 bali kwa matendo mema kama iwapasavyo wanawake wamchao Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 bali kwa matendo mema kama iwapasavyo wanawake wamchao Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 bali kwa matendo mema kama iwapasavyo wanawake wamchao Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 bali kwa matendo mazuri kama iwapasavyo wanawake wanaokiri kuwa wanamcha Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 bali kwa matendo mazuri kama iwapasavyo wanawake wanaokiri kuwa wanamcha Mungu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI10 bali kwa matendo mema, kama iwapasavyo wanawake wanaoukiri uchaji wa Mungu. Tazama sura |