Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 9:14 - Swahili Revised Union Version

14 Nao wakakwea kwenda mjini; nao walipokuwa wakiingia mjini, tazama, Samweli akawatokea, kwenda mahali pa juu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Hivyo Shauli na mtumishi wake walikwenda mjini. Walipokuwa wanaingia mjini, walimwona Samueli akitoka mjini, na anaelekea mahali pa juu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Hivyo Shauli na mtumishi wake walikwenda mjini. Walipokuwa wanaingia mjini, walimwona Samueli akitoka mjini, na anaelekea mahali pa juu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Hivyo Shauli na mtumishi wake walikwenda mjini. Walipokuwa wanaingia mjini, walimwona Samueli akitoka mjini, na anaelekea mahali pa juu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Wakapanda mjini, nao walipokuwa wakiingia mjini, tazama, Samweli alikuwa akija kuelekea walikoenda mahali pa juu pa kuabudia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Wakapanda mjini, nao walipokuwa wakiingia mjini, tazama, Samweli alikuwa akija kuelekea walikokwenda mahali pa juu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

14 Nao wakakwea kwenda mjini; nao walipokuwa wakiingia mjini, tazama, Samweli akawatokea, kwenda mahali pa juu.

Tazama sura Nakili




1 Samueli 9:14
2 Marejeleo ya Msalaba  

mkiingia mjini tu, mara mtamwona, kabla hajakwea kwenda mahali pa juu ale chakula; maana, watu hawatakula hadi yeye atakapokuja; kwa sababu yeye ndiye anayeibariki dhabihu; ndipo hao watu walioalikwa hula. Basi, kweeni sasa; maana wakati huu ndio mtakapomwona.


Basi BWANA alikuwa amemfunulia Samweli, siku moja kabla Sauli hajamwendea, akisema,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo