Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 8:21 - Swahili Revised Union Version

21 Samweli akayasikia maneno yote ya watu, akayanena masikioni mwa BWANA.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Samueli alipokwisha sikiliza kila kitu walichosema, akaenda na kumweleza Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Samueli alipokwisha sikiliza kila kitu walichosema, akaenda na kumweleza Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Samueli alipokwisha sikiliza kila kitu walichosema, akaenda na kumweleza Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Samweli aliposikia yote watu waliyosema, akarudia kuyasema mbele za Mwenyezi Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Samweli aliposikia yote watu waliyosema, akarudia kuyasema mbele za bwana.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

21 Samweli akayasikia maneno yote ya watu, akayanena masikioni mwa BWANA.

Tazama sura Nakili




1 Samueli 8:21
3 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Hezekia akaupokea waraka katika mikono ya wale wajumbe, akausoma; kisha Hezekia akapanda, akaingia katika nyumba ya BWANA, akaukunjua mbele za BWANA.


Ndipo Yeftha akaenda pamoja na wazee wa Gileadi, na hao watu wakamfanya awe kiongozi, tena mkuu, juu yao; naye Yeftha akanena maneno yake yote mbele ya BWANA huko Mispa.


BWANA akamwambia Samweli, Isikilize sauti yao, ukawateulie mfalme. Kisha Samweli akawaambia watu wa Israeli, Kila mtu aende nyumbani kwake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo