1 Samueli 8:1 - Swahili Revised Union Version1 Na Samweli alipozeeka, aliwafanya wanawe wawe waamuzi juu ya Israeli. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Samueli alipokuwa mzee, aliwafanya watoto wake wa kiume kuwa waamuzi wa Israeli. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Samueli alipokuwa mzee, aliwafanya watoto wake wa kiume kuwa waamuzi wa Israeli. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Samueli alipokuwa mzee, aliwafanya watoto wake wa kiume kuwa waamuzi wa Israeli. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Samweli alipokuwa mzee, akaweka wanawe kuwa waamuzi wa Israeli. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Samweli alipokuwa mzee, akaweka wanawe kuwa waamuzi wa Israeli. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI1 Hata Samweli alipozeeka, aliwafanya wanawe wawe waamuzi juu ya Israeli. Tazama sura |