1 Samueli 31:6 - Swahili Revised Union Version6 Hivyo Sauli akafa, na wanawe watatu, na mchukua silaha zake, na watu wake wote pamoja siku iyo hiyo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Hivyo ndivyo Shauli alivyokufa, na wanawe watatu, pia na mtu aliyembebea silaha pamoja na watu wake wote katika siku hiyohiyo moja. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Hivyo ndivyo Shauli alivyokufa, na wanawe watatu, pia na mtu aliyembebea silaha pamoja na watu wake wote katika siku hiyohiyo moja. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Hivyo ndivyo Shauli alivyokufa, na wanawe watatu, pia na mtu aliyembebea silaha pamoja na watu wake wote katika siku hiyohiyo moja. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Basi Sauli, wanawe watatu, mbeba silaha wake na watu wake wote wakafa pamoja siku ile ile. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Basi Sauli, wanawe watatu, mbeba silaha wake na watu wake wote wakafa pamoja siku ile ile. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI6 Hivyo Sauli akafa, na wanawe watatu, na mchukua silaha zake, na watu wake wote pamoja siku hiyo hiyo. Tazama sura |