1 Samueli 31:5 - Swahili Revised Union Version5 Na mchukua silaha zake alipoona ya kuwa Sauli amekufa, yeye naye akauangukia upanga wake, akafa pamoja naye. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Halafu yule aliyembebea silaha alipoona kuwa Shauli amekufa, naye pia aliuangukia upanga wake, akafa pamoja na Shauli. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Halafu yule aliyembebea silaha alipoona kuwa Shauli amekufa, naye pia aliuangukia upanga wake, akafa pamoja na Shauli. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Halafu yule aliyembebea silaha alipoona kuwa Shauli amekufa, naye pia aliuangukia upanga wake, akafa pamoja na Shauli. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Mbeba silaha wake alipoona Sauli amekufa, pia akaangukia upanga wake, akafa pamoja naye. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Mchukua silaha wake alipoona Sauli amekufa, naye pia akaangukia upanga wake akafa pamoja naye. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI5 Na mchukua silaha zake alipoona ya kuwa Sauli amekufa, yeye naye akauangukia upanga wake, akafa pamoja naye. Tazama sura |