Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 30:30 - Swahili Revised Union Version

30 na kwa hao wa Horma, na kwa hao wa Korashani, na kwa hao wa Athaki;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

30 wakazi wa Horma, wakazi wa Borashani, wakazi wa Athaki,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 wakazi wa Horma, wakazi wa Borashani, wakazi wa Athaki,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 wakazi wa Horma, wakazi wa Borashani, wakazi wa Athaki,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

30 na kwa wale walio Horma, Bori-Ashani, Athaki,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

30 na kwa wale walioko Horma, Bori-Ashani, Athaki,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

30 na kwa hao wa Horma, na kwa hao wa Korashani, na kwa hao wa Athaki;

Tazama sura Nakili




1 Samueli 30:30
8 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo Mwamaleki, na Mkanaani waliokaa huko mlimani, wakateremka, wakawapiga na kuwaangusha, hadi wakafika Horma.


BWANA akasikiza sauti ya Israeli, akawatia Wakanaani mikononi mwao; nao wakawaharibu wao na miji yao kabisa; na jina la mahali hapo likaitwa Horma.


mfalme wa Horma, mmoja; na mfalme wa Aradi, mmoja;


Eltoladi, Kesili, Horma;


Libna, Etheri, Ashani;


Eltoladi, Bethuli, Horma;


Aini, Rimoni, Etheri na Ashani; miji minne, pamoja na vijiji vyake;


Kisha Yuda akaenda pamoja na nduguye Simeoni, na wakawapiga Wakanaani waliokaa katika Sefathi, na kuuharibu mji kabisa. Na jina la mji huo ulikuwa ukiitwa Horma.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo