Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 30:25 - Swahili Revised Union Version

25 Basi ikawa hivyo tangu siku ile na baadaye; akaiweka iwe amri na agizo la Israeli hata leo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Tangu siku hiyo Daudi alifanya uamuzi huo kuwa sheria na kanuni katika nchi ya Israeli hadi hivi leo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Tangu siku hiyo Daudi alifanya uamuzi huo kuwa sheria na kanuni katika nchi ya Israeli hadi hivi leo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Tangu siku hiyo Daudi alifanya uamuzi huo kuwa sheria na kanuni katika nchi ya Israeli hadi hivi leo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Daudi akafanya hili liwe amri na agizo kwa Israeli kutoka siku ile hata leo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Daudi akafanya hili liwe amri na agizo kwa Israeli kutoka siku ile hata leo.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

25 Basi ikawa hivyo tangu siku ile na baadaye; akaiweka iwe amri na agizo la Israeli hata leo.

Tazama sura Nakili




1 Samueli 30:25
4 Marejeleo ya Msalaba  

Ndani ya ile hema ya kukutania, nje ya hilo pazia, lililo mbele ya huo ushuhuda, Haruni na wanawe wataitengeza tangu jioni hadi asubuhi mbele ya BWANA; itakuwa ni amri ya milele katika vizazi vyao vyote kwa ajili ya wana wa Israeli.


Ndipo Samweli akaitwaa pembe yenye mafuta, akamtia mafuta kati ya ndugu zake; na Roho ya BWANA ikamjia Daudi kwa nguvu kuanzia siku ile. Basi Samweli akaondoka, akaenda zake Rama.


Tena ni nani atakayewasikiliza ninyi katika jambo hili? Kwa kuwa kama lilivyo fungu lake yeye ashukaye vitani, ndivyo litakavyokuwa na fungu lake huyo akaaye karibu na vyombo; watagawiwa sawasawa.


Basi Daudi alipofika Siklagi, aliwapelekea wazee wa Yuda, rafiki zake, sehemu ya nyara, akasema, Angalieni, zawadi yenu katika nyara za adui za BWANA;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo