1 Samueli 30:25 - Swahili Revised Union Version25 Basi ikawa hivyo tangu siku ile na baadaye; akaiweka iwe amri na agizo la Israeli hata leo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema25 Tangu siku hiyo Daudi alifanya uamuzi huo kuwa sheria na kanuni katika nchi ya Israeli hadi hivi leo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND25 Tangu siku hiyo Daudi alifanya uamuzi huo kuwa sheria na kanuni katika nchi ya Israeli hadi hivi leo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza25 Tangu siku hiyo Daudi alifanya uamuzi huo kuwa sheria na kanuni katika nchi ya Israeli hadi hivi leo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu25 Daudi akafanya hili liwe amri na agizo kwa Israeli kutoka siku ile hata leo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu25 Daudi akafanya hili liwe amri na agizo kwa Israeli kutoka siku ile hata leo. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI25 Basi ikawa hivyo tangu siku ile na baadaye; akaiweka iwe amri na agizo la Israeli hata leo. Tazama sura |