Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 3:5 - Swahili Revised Union Version

5 Akamwendea Eli kwa haraka, akasema, Mimi hapa; kwa maana uliniita. Akasema, Sikukuita; kalale tena. Naye akaenda, akalala tena.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Kisha Samueli akamwendea Eli kwa haraka, akamwambia, “Nimekuja kwani umeniita.” Lakini Eli akamwambia, “Mimi sijakuita. Nenda ukalale.” Samueli akarudi na kulala.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Kisha Samueli akamwendea Eli kwa haraka, akamwambia, “Nimekuja kwani umeniita.” Lakini Eli akamwambia, “Mimi sijakuita. Nenda ukalale.” Samueli akarudi na kulala.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Kisha Samueli akamwendea Eli kwa haraka, akamwambia, “Nimekuja kwani umeniita.” Lakini Eli akamwambia, “Mimi sijakuita. Nenda ukalale.” Samueli akarudi na kulala.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Naye akakimbia kwa Eli na kumwambia, “Mimi hapa, kwa kuwa umeniita.” Lakini Eli akasema, “Sikukuita; rudi ukalale.” Hivyo akaenda kulala.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Naye akakimbia kwa Eli na kumwambia, “Mimi hapa, kwa kuwa umeniita.” Lakini Eli akasema, “Sikukuita; rudi ukalale.” Hivyo akaenda kulala.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

5 Akamwendea Eli kwa haraka, akasema, Mimi hapa; kwa maana uliniita. Akasema, Sikukuita; kalale tena. Naye akaenda, akalala tena.

Tazama sura Nakili




1 Samueli 3:5
2 Marejeleo ya Msalaba  

basi, wakati huo BWANA akamwita Samweli; naye akasema, Mimi hapa.


BWANA akaita mara ya pili, Samweli! Samweli! Akaondoka akamwendea Eli, akasema, Mimi hapa; kwa maana uliniita. Akajibu, Sikukuita, mwanangu; kalale tena.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo