Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 3:4 - Swahili Revised Union Version

4 basi, wakati huo BWANA akamwita Samweli; naye akasema, Mimi hapa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Ndipo Mwenyezi-Mungu akamwita Samueli! Naye Samueli, akaitika, “Naam!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Ndipo Mwenyezi-Mungu akamwita Samueli! Naye Samueli, akaitika, “Naam!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Ndipo Mwenyezi-Mungu akamwita Samueli! Naye Samueli, akaitika, “Naam!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Kisha Mwenyezi Mungu akamwita Samweli. Samweli akajibu, “Mimi hapa.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Kisha bwana akamwita Samweli. Samweli akajibu, “Mimi hapa.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 basi, wakati huo BWANA akamwita Samweli; naye akasema, Mimi hapa.

Tazama sura Nakili




1 Samueli 3:4
10 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa baada ya mambo hayo Mungu alimjaribu Abrahamu, akamwambia, Ee Abrahamu! Naye akasema, Mimi hapa.


Ndipo malaika wa BWANA akamwita kutoka mbinguni, akasema, Abrahamu! Abrahamu! Naye akasema, Mimi hapa.


Musa na Haruni walikuwa makuhani wake, Na Samweli pia ni miongoni mwa walioliitia jina lake, Walimlilia BWANA naye akawaitikia;


BWANA alipoona ya kuwa ameenda ili atazame, Mungu akamwita kutoka katikati ya kile kichaka, akasema, Musa! Musa! Akaitika, Mimi hapa.


Kisha nikaisikia sauti ya Bwana, akisema, Nimtume nani, naye ni nani atakayekwenda kwa ajili yetu? Ndipo niliposema, Mimi hapa, nitume mimi.


Akaanguka chini, akasikia sauti ikimwambia, Sauli, Sauli, mbona wanitesa?


Na Mungu ameweka wengine katika kanisa, wa kwanza mitume, wa pili manabii, wa tatu waalimu, kisha miujiza, kisha karama za kuponya wagonjwa, aina za usaidizi, maongozi na aina za lugha.


Akamwendea Eli kwa haraka, akasema, Mimi hapa; kwa maana uliniita. Akasema, Sikukuita; kalale tena. Naye akaenda, akalala tena.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo