Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 28:25 - Swahili Revised Union Version

25 kisha akamwandalia Sauli na watumishi wake; wakala. Ndipo wakaondoka, wakaenda zao usiku ule.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Akampa Shauli, akawapa pia watumishi wake, nao wakala. Halafu wakaondoka na kwenda zao wakati huohuo usiku.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Akampa Shauli, akawapa pia watumishi wake, nao wakala. Halafu wakaondoka na kwenda zao wakati huohuo usiku.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Akampa Shauli, akawapa pia watumishi wake, nao wakala. Halafu wakaondoka na kwenda zao wakati huohuo usiku.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Ndipo akamwandalia meza Sauli pamoja na watu wake, nao wakala. Usiku ule ule wakainuka na kwenda zao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Ndipo akamwandalia meza Sauli pamoja na watu wake, nao wakala. Usiku ule ule wakainuka na kwenda zao.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

25 kisha akamwandalia Sauli na watumishi wake; wakala. Ndipo wakaondoka, wakaenda zao usiku ule.

Tazama sura Nakili




1 Samueli 28:25
2 Marejeleo ya Msalaba  

Naye yule mwanamke alikuwa na ndama aliyenona nyumbani; akafanya haraka kumchinja; akatwaa na unga, akaukanda, akafanya mkate wa mofa kwa unga huo;


Basi hao Wafilisti wakakusanya majeshi yao yote huko Afeki; nao Waisraeli wakafanya kambi karibu na chemchemi iliyoko Yezreeli.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo