1 Samueli 28:18 - Swahili Revised Union Version18 Kwa sababu wewe hukuitii sauti ya BWANA, wala hukumtimilizia hasira yake kali juu ya Amaleki; kwa sababu hii BWANA amekutendea hili leo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Maana, wewe hukuitii sauti ya Mwenyezi-Mungu, wala hukuitekeleza ghadhabu yake dhidi ya Waamaleki. Ndio maana leo Mwenyezi-Mungu amekutendea mambo haya. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Maana, wewe hukuitii sauti ya Mwenyezi-Mungu, wala hukuitekeleza ghadhabu yake dhidi ya Waamaleki. Ndio maana leo Mwenyezi-Mungu amekutendea mambo haya. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Maana, wewe hukuitii sauti ya Mwenyezi-Mungu, wala hukuitekeleza ghadhabu yake dhidi ya Waamaleki. Ndio maana leo Mwenyezi-Mungu amekutendea mambo haya. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Kwa sababu wewe hukumtii Mwenyezi Mungu, wala hukumtimizia ghadhabu yake kali juu ya Waamaleki, Mwenyezi Mungu amekutendea mambo haya leo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Kwa sababu wewe hukumtii bwana, wala hukumtimizia ghadhabu yake kali juu ya Waamaleki, bwana amekutendea mambo haya leo. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI18 Kwa sababu wewe hukuitii sauti ya BWANA, wala hukumtimilizia hasira yake kali juu ya Amaleki; kwa sababu hii BWANA amekutendea hili leo. Tazama sura |