1 Samueli 24:19 - Swahili Revised Union Version19 Maana mtu akimwona adui yake, je! Atamwacha aende zake salama? Basi BWANA na akulipe mema kwa haya uliyonitendea leo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema19 Je, mtu akimkamata adui yake atamwacha aende salama? Kwa lile ulilonitendea, Mwenyezi-Mungu na akupe tuzo jema! Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND19 Je, mtu akimkamata adui yake atamwacha aende salama? Kwa lile ulilonitendea, Mwenyezi-Mungu na akupe tuzo jema! Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza19 Je, mtu akimkamata adui yake atamwacha aende salama? Kwa lile ulilonitendea, Mwenyezi-Mungu na akupe tuzo jema! Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu19 Je, mtu ampatapo adui yake, humwacha aende zake bila kumdhuru? Mwenyezi Mungu na akulipe mema kwa jinsi ulivyonitenda leo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu19 Je, mtu ampatapo adui yake, humwacha aende zake bila kumdhuru? bwana na akulipe mema kwa jinsi ulivyonitenda leo. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI19 Maana mtu akimwona adui yake, je! Atamwacha aende zake salama? Basi BWANA na akulipe mema kwa haya uliyonitendea leo. Tazama sura |