Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 21:3 - Swahili Revised Union Version

3 Kuna nini basi, chini ya mkono wako? Nipe mkononi mwangu mikate mitano, au chochote ulicho nacho hapa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Je, una kitu chochote? Nakuomba mikate mitano au chochote kilichoko.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Je, una kitu chochote? Nakuomba mikate mitano au chochote kilichoko.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Je, una kitu chochote? Nakuomba mikate mitano au chochote kilichoko.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Sasa basi, una nini mkononi? Nipatie mikate mitano au chochote unachoweza kupata.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Sasa basi, una nini mkononi? Nipatie mikate mitano au chochote unachoweza kupata.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

3 Kuna nini basi, chini ya mkono wako? Nipe mkononi mwangu mikate mitano, au chochote ulicho nacho hapa.

Tazama sura Nakili




1 Samueli 21:3
4 Marejeleo ya Msalaba  

Mtu atakapomshika ndugu yake ndani ya nyumba ya baba yake, akisema, Wewe una nguo, ututawale wewe; na mahali hapa palipobomoka pawe chini ya mkono wako;


Laiti watu hawa wangekuwa chini ya mkono wangu! Hapo basi mimi ningemuondoa huyo Abimeleki. Kisha akamwambia Abimeleki, Haya, ongeza jeshi lako, utokeze.


Daudi akamwambia Ahimeleki, kuhani, Mfalme ameniagiza shughuli, akaniambia, Asijue mtu awaye yote habari ya shughuli hii ninayokutuma, wala ya neno hili ninalokuamuru; nami nimewaagiza vijana waende mahali fulani.


Yule kuhani akamjibu Daudi, akasema, Hapana mikate ya kawaida chini ya mkono wangu, ila mikate mitakatifu; ikiwa wale vijana wamejitenga na wanawake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo