Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 21:14 - Swahili Revised Union Version

14 Ndipo huyo Akishi akawaambia watumishi wake, Angalieni, mnaona ya kuwa mtu huyu ana wazimu; basi, maana yake nini kumleta kwangu?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Akishi akawaambia watumishi wake, “Mnajua kuwa mtu huyu ni mwendawazimu; kwa nini mmemleta kwangu?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Akishi akawaambia watumishi wake, “Mnajua kuwa mtu huyu ni mwendawazimu; kwa nini mmemleta kwangu?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Akishi akawaambia watumishi wake, “Mnajua kuwa mtu huyu ni mwendawazimu; kwa nini mmemleta kwangu?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Akishi akawaambia watumishi wake, “Tazameni mtu huyu! Ana wazimu! Kwa nini mnamleta kwangu?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Akishi akawaambia watumishi wake, “Tazameni mtu huyu! Ana wazimu! Kwa nini mnamleta kwangu?

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

14 Ndipo huyo Akishi akawaambia watumishi wake, Angalieni, mnaona ya kuwa mtu huyu ana wazimu; basi, maana yake nini kumleta kwangu?

Tazama sura Nakili




1 Samueli 21:14
4 Marejeleo ya Msalaba  

Nitamhimidi BWANA kila wakati, Sifa zake zi kinywani mwangu daima.


Kweli jeuri humpumbaza mwenye hekima, Na rushwa huuharibu ufahamu.


Akaubadilisha mwenendo wake mbele yao, akajifanya mwenye wazimu mikononi mwao, akakunakuna katika mbao za mlango, na kuyaacha mate yake kuanguka juu ya ndevu zake.


Je! Mimi nina haja ya watu wenye wazimu, hata mmemleta kiumbe huyu ili aoneshe wazimu wake machoni pangu? Je! Huyu ataingia nyumbani mwangu?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo