Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 20:24 - Swahili Revised Union Version

24 Basi Daudi akajificha shambani; na mwezi ulipoandama, mfalme aliketi kula chakula.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Basi, Daudi akajificha shambani. Wakati wa sherehe za mwezi mwandamo, mfalme Shauli akaketi mezani kula.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Basi, Daudi akajificha shambani. Wakati wa sherehe za mwezi mwandamo, mfalme Shauli akaketi mezani kula.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Basi, Daudi akajificha shambani. Wakati wa sherehe za mwezi mwandamo, mfalme Shauli akaketi mezani kula.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Basi Daudi akajificha shambani, na sikukuu ya Mwezi Mwandamo ilipowadia, mfalme akaketi ili ale.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Basi Daudi akajificha shambani, na sikukuu ya Mwezi Mwandamo ilipowadia, mfalme akaketi ili ale.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

24 Basi Daudi akajificha shambani; na mwezi ulipoandama, mfalme aliketi kula chakula.

Tazama sura Nakili




1 Samueli 20:24
12 Marejeleo ya Msalaba  

Chakula cha mboga palipo na upendo; Ni bora kuliko ng'ombe aliyenona pamoja na kuchukiana.


Afadhali mego kavu pamoja na utulivu, Kuliko nyumba yenye karamu nyingi pamoja na magomvi.


Sadaka ya wasio haki ni chukizo; Si zaidi sana ailetapo mwenye nia mbaya!


Kutenda haki na hukumu Humpendeza BWANA kuliko kutoa sadaka.


Maana wao hula mkate wa uovu, Nao hunywa divai ya ujeuri.


Na wakati mnapokula chakula na kunywa, je, Hamli kwa ajili ya nafsi zenu, na kunywa kwa ajili ya nafsi zenu?


Kisha wakamchukua Yesu kutoka kwa Kayafa mpaka Praitorio, nayo ikawa alfajiri; lakini wao wenyewe hawakuingia ndani ya ile Praitorio, wasije wakanajisika, bali wapate kuila Pasaka.


Na kwa habari ya neno lile tulilonena, wewe na mimi, angalia BWANA yu kati ya wewe na mimi milele.


Mfalme aliketi kitini mwake kama sikuzote, katika kiti kilichokuwa karibu na ukuta; Yonathani alikuwa mbele yake; Abneri naye akaketi karibu na Sauli; lakini mahali pake Daudi palikuwa hapana mtu.


Naye Daudi akamwambia Yonathani, Tazama, kesho ni mwandamo wa mwezi, nami hainipasi kukosa kuketi chakulani pamoja na mfalme; lakini niache nijifiche bondeni hadi siku ya tatu jioni.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo