Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 2:19 - Swahili Revised Union Version

19 Tena mamaye alimshonea kanzu ndogo, na kumletea kila mwaka, hapo alipokwea pamoja na mumewe ili kutoa dhabihu kila mwaka.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Kila mwaka mama yake alimfumia vazi dogo, na kumpelekea alipokuwa akienda na mumewe kutolea tambiko ya kila mwaka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Kila mwaka mama yake alimfumia vazi dogo, na kumpelekea alipokuwa akienda na mumewe kutolea tambiko ya kila mwaka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Kila mwaka mama yake alimfumia vazi dogo, na kumpelekea alipokuwa akienda na mumewe kutolea tambiko ya kila mwaka.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Kila mwaka mama yake alimshonea joho dogo na kumpelekea alipokwea pamoja na mumewe kutoa dhabihu ya mwaka.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Kila mwaka mama yake alimshonea joho dogo na kumchukulia wakati alipokwea pamoja na mumewe kutoa dhabihu ya mwaka.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

19 Tena mamaye alimshonea kanzu ndogo, na kumletea kila mwaka, hapo alipokwea pamoja na mumewe ili kutoa dhabihu kila mwaka.

Tazama sura Nakili




1 Samueli 2:19
4 Marejeleo ya Msalaba  

Mara tatu kila mwaka utaniwekea sikukuu.


Nawe fanya hiyo joho la naivera ya rangi ya buluu yote.


Kisha yule mtu, Elkana, na watu wote wa nyumbani mwake, wakakwea kwenda kumtolea BWANA dhabihu ya mwaka, na nadhiri yake.


Na mtu huyo alikuwa akikwea kutoka mjini kwake mwaka kwa mwaka, ili kuabudu, na kumtolea BWANA wa majeshi dhabihu katika Shilo. Na wale wana wawili wa Eli, Hofni na Finehasi, makuhani wa BWANA, walikuwako huko.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo