1 Samueli 2:12 - Swahili Revised Union Version12 Basi, hao wana wa Eli walikuwa watu wasiofaa kitu; hawakumjali BWANA, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Watoto wa kiume wa Eli walikuwa walaghai sana. Hawakumjali Mwenyezi-Mungu Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Watoto wa kiume wa Eli walikuwa walaghai sana. Hawakumjali Mwenyezi-Mungu Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Watoto wa kiume wa Eli walikuwa walaghai sana. Hawakumjali Mwenyezi-Mungu Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Wana wa Eli walikuwa watu waovu kabisa, hawakumheshimu Mwenyezi Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Wana wa Eli walikuwa watu wabaya kabisa, hawakumheshimu bwana. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI12 Basi, hao wana wa Eli walikuwa watu wasiofaa kitu; hawakumjali BWANA, Tazama sura |
Makuhani wake wameivunja sheria yangu, wametia unajisi vitu vyangu vitakatifu; hawakuweka tofauti ya vitu vitakatifu na vitu vya kutumiwa sikuzote; wala hawakuwafundisha watu kupambanua vitu vichafu na vitu vilivyo safi, nao wamefumba macho yao, wasiziangalie sabato zangu, nami nimetiwa unajisi kati yao.