1 Samueli 2:10 - Swahili Revised Union Version10 Washindanao na BWANA watapondwa kabisa; Toka mbinguni yeye atawapigia radi; BWANA ataihukumu dunia yote; Naye atampa mfalme wake nguvu, Na kuitukuza pembe ya masihi wake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Maadui wa Mwenyezi-Mungu watavunjwa vipandevipande; atanguruma dhidi yao kama radi mbinguni. Mwenyezi-Mungu ataihukumu dunia yote; atampa nguvu mfalme wake ataukuza uwezo wa mteule wake.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Maadui wa Mwenyezi-Mungu watavunjwa vipandevipande; atanguruma dhidi yao kama radi mbinguni. Mwenyezi-Mungu ataihukumu dunia yote; atampa nguvu mfalme wake ataukuza uwezo wa mteule wake.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Maadui wa Mwenyezi-Mungu watavunjwa vipandevipande; atanguruma dhidi yao kama radi mbinguni. Mwenyezi-Mungu ataihukumu dunia yote; atampa nguvu mfalme wake ataukuza uwezo wa mteule wake.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 wale wampingao Mwenyezi Mungu wataharibiwa kabisa. Atapiga radi dhidi yao kutoka mbinguni; Mwenyezi Mungu ataihukumu miisho ya dunia. “Atampa nguvu mfalme wake, na kuitukuza pembe ya mpakwa mafuta wake.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 wale wampingao bwana wataharibiwa kabisa. Atapiga radi dhidi yao kutoka mbinguni; bwana ataihukumu miisho ya dunia. “Atampa nguvu mfalme wake, na kuitukuza pembe ya mpakwa mafuta wake.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI10 Washindanao na BWANA watapondwa kabisa; Toka mbinguni yeye atawapigia radi; BWANA ataihukumu dunia yote; Naye atampa mfalme wake nguvu, Na kuitukuza pembe ya masihi wake. Tazama sura |