Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 17:57 - Swahili Revised Union Version

57 Hata na Daudi alipokuwa akirudi kutoka katika kumwua yule Mfilisti, Abneri alimtwaa, akamleta mbele ya Sauli, akiwa na kichwa chake yule Mfilisti mkononi mwake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

57 Mara tu Daudi aliporudi kambini baada ya kumuua Goliathi, Abneri alimchukua na kumpeleka kwa Shauli. Wakati huo Daudi alikuwa bado amechukua kichwa cha Goliathi mikononi mwake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

57 Mara tu Daudi aliporudi kambini baada ya kumuua Goliathi, Abneri alimchukua na kumpeleka kwa Shauli. Wakati huo Daudi alikuwa bado amechukua kichwa cha Goliathi mikononi mwake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

57 Mara tu Daudi aliporudi kambini baada ya kumuua Goliathi, Abneri alimchukua na kumpeleka kwa Shauli. Wakati huo Daudi alikuwa bado amechukua kichwa cha Goliathi mikononi mwake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

57 Mara Daudi aliporudi kutoka kumuua huyo Mfilisti, Abneri akamchukua na kumleta mbele ya Sauli. Daudi alikuwa bado anakishikilia kichwa cha yule Mfilisti.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

57 Mara Daudi aliporudi kutoka kumuua huyo Mfilisti, Abneri akamchukua na kumleta mbele ya Sauli. Daudi alikuwa bado anakishikilia kichwa cha yule Mfilisti.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

57 Hata na Daudi alipokuwa akirudi kutoka katika kumwua yule Mfilisti, Abneri alimtwaa, akamleta mbele ya Sauli, akiwa na kichwa chake yule Mfilisti mkononi mwake.

Tazama sura Nakili




1 Samueli 17:57
2 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Daudi akakitwaa kichwa chake yule Mfilisti na kukileta Yerusalemu; lakini silaha zake akaziweka hemani mwake.


Basi mfalme akasema, Uliza wewe, kijana huyu ni mwana wa nani.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo